PATRICK AUSSEMS ‘UCHEBE’ KATAJA ALIPOZIDIWA NA AS VITA
Kiu ya watanzania na mashabiki wa Simba kuona mchezo wa pili wa hatua ya makundi wa michuano ya klabu Bingwa Afrika kati ya AS Vita dhidi ya Simba uliyopigwa katika mji wa Kinshasa, iliingia nyongo kufuatia kupoteza mchezo huo kwa mabao 5-0. Baada ya mchezo kocha wa Simba Patrick Aussems na kocha wa AS Vita …