Kapombe amwaga wino Simba
Bek wa kulia anayecheza Klabu ya Simba Shomari Kapombe amesaini mkataba mpya wa miaka miwili wa kuendelea kuichezea Klabu hiyo. Kupitia ukurasa wa instagram ya Klabu ya Simba SC umeandika kuwa Kapombe kwa sasa yupo fiti kucheza na atakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda nje ya nchi kujiandaa na msimu mpya baada ya kuwa nje …