ZAHERA ADAI KUISAIDIA YANGA MILLIONI 100
Aliyekuwa Kocha mkuu wa Yanga SC Mwinyi Zahera baada ya kufutwa kazi na waajiri wake kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao ilivyo kwa sasa. Zahera mbele ya waandishi wa habari aligoma kuongea kwa kigezo kuwa bado hajapewa barua lakini baada ya kupewa barua ameongea na kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM …