MTANZANIA AWASILI FC NANTES UFARANSA
Kinda wa Azam FC U-20 na timu ya taifa ya vijana ya Tanzania Ngorongoro Heroes Tepsi Evans amewasili salama Ufaransa katika klabu ya FC Nantes kwa ajili ya kupata mafunzo ya soka.
Kinda wa Azam FC U-20 na timu ya taifa ya vijana ya Tanzania Ngorongoro Heroes Tepsi Evans amewasili salama Ufaransa katika klabu ya FC Nantes kwa ajili ya kupata mafunzo ya soka.