RONALDO KUNUNUA TIMU NYINGINE ULAYA
Ronaldo anataka kununua timu ya pili ya soka baada ya kuinunua Valladolid mwaka janaMshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Brazil, Ronaldo Nazario amefichua kuwa anataka kununua timu pili ya mpira wa miguu baada ya mwaka jana kufanikiwa kuinunua Real Valladolid ya nchini Hispania mwaka jana. Biashara ya kumiliki timu inaonekana …