KUMBUKUMBU LEICESTER CITY
Siku kama ya leo mwaka mmoja uliopita, helikopta iliyokuwa imembeba mmiliki wa klabu ya Leicester City na watu wengine wanne ilianguka nje ya uwanja wa King Power Stadium na kupelekea watu wote kupoteza maisha.

Siku kama ya leo mwaka mmoja uliopita, helikopta iliyokuwa imembeba mmiliki wa klabu ya Leicester City na watu wengine wanne ilianguka nje ya uwanja wa King Power Stadium na kupelekea watu wote kupoteza maisha.