De Ligt atua rasmi Juventus
Klabu ya Juventus leo wametangaza rasmi kumsajili beki wa kati Matthijs de Ligt kutoka Ajax kwa ada inayoripotiwa kuwa Pauni Milioni 67.5 sawa na Tsh Bilioni 193. Mholanzi huyo,19, amesaini mkataba wa miaka mitano
Klabu ya Juventus leo wametangaza rasmi kumsajili beki wa kati Matthijs de Ligt kutoka Ajax kwa ada inayoripotiwa kuwa Pauni Milioni 67.5 sawa na Tsh Bilioni 193. Mholanzi huyo,19, amesaini mkataba wa miaka mitano
Shirikisho la soka la Afrika CAF limefanya mabadiliko ya mwamuzi wa mechi ya fainali ya AFCON 2019 kati ya Senegal na Algeria zikiwa zimepita saa 24 tangu wamtangaze mwamuzi wa Afrika Kusini Victor Gomes kuwa ndiye atakayechezesha mechi hiyo. Shirikisho hilo sasa limemtangaza Mwamuzi Neant Alioum kutoka Cameroon kuwa ndiye atakayeshika filimbi hapo kesho. Mwamuzi …