Trippier atua Atletico Madrid
Atletico Madrid wametangaza kumsajili beki Muingereza Kieran Trippier kutoka Tottenham kwa ada ya Pauni milioni 21.7 Trippier,28, anakuwa ni Muingereza wa kwanza kuichezea Atletico Madrid ndani ya miaka 95.
Atletico Madrid wametangaza kumsajili beki Muingereza Kieran Trippier kutoka Tottenham kwa ada ya Pauni milioni 21.7 Trippier,28, anakuwa ni Muingereza wa kwanza kuichezea Atletico Madrid ndani ya miaka 95.
Baada ya kuonekana amepaka rangi nywele zake, nyota Mesut Ozil ameeleza sababu iliyofanya afanye hivyo. Kiungo huyo amesema alipoteza bet ya kugongesha mwamba (crossbar challenge) dhidi ya mchezaji mwenzake wa Arsenal Alexandre Lacazette hivyo ikambidi atimize ahadi.
Ikiwa mabadiliko katika sekta mbalimbali yanaendelea ndani ya Klabu ya Yanga Mwenyekiti wa klabu hiyo Mshindo Msolla amesema kuwa Kocha mkuu Mwinyi Zahera amemchagua Kocha Noel Mwandila kuwa msaidizi wake kwa kuwa anavigezo vyote vya kuwa katika nafasi hiyo. Msolla kupitia Clouds FM amesema Kocha Zahera atafanya mabadiliko katika Benchi la ufundi lakini Kocha Mwandila …
Baada ya jana uongozi wa Klabu ya Simba kupitia kwa Mkurugenzi wake Crescentius Magori kusema kuwa haimtambui aliyekuwa mdhamini wa Klabu hiyo Mzee Hamisi Kilomoni kama mdhamini ndani ya Klabu hiyo tangu mwaka 2017 walipomvua wadhifa huo,na kuamua kumpeleka kwenye Kamati ya maadili ya TFF na kumshtaki kwa kosa la kupotosha umma kuwa yeye bado …