Simba yataka kumshitaki Juuko
Uongozi wa Klabu ya Simba kumshitaki beki wake wa kati Juuko Murshid kwa kosa la kutorudi kwenye timu yake na kuendelea na majukumu yake. Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo Crescentius Magori amesema kuwa mchezaji huyo aliitwa na uongozi wa klabu lakini hakuweza kufika hivyo wameamua kumshitaki kwenye Kamati ya maadili ya TFF. Magori amesema kuwa …