Pato aondoka Yanga na kutua Polisi
Kiungo Mkabaji aliyekuwa katika Klabu ya Yanga Pato Ngonyani, amejiunga na Polisi Tanzania FC kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Kiungo Mkabaji aliyekuwa katika Klabu ya Yanga Pato Ngonyani, amejiunga na Polisi Tanzania FC kwa mkataba wa mwaka mmoja.