Kotei asajiliwa Keizer Chiefs
Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imemsajili kiungo James Kotei kutoka Simba kwa mkataba wa miaka mitatu Kotei alikuwa ni mshindi wa tuzo ya kiungo bora wa Simba katika msimu uliomalizika.
Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imemsajili kiungo James Kotei kutoka Simba kwa mkataba wa miaka mitatu Kotei alikuwa ni mshindi wa tuzo ya kiungo bora wa Simba katika msimu uliomalizika.
Baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa Klabu ya KMC Etienne Ndayiragije kuondoka na kujiunga na Klabu ya Azam, KMC imemnasa aliyewahi kuwa kocha msaidizi wa Klabu ya Simba SC Jackson Mayanja kwa mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia Klabu hiyo. Uongozi wa KMC kupitia kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni Benjamin Sitta amesema kuwa wanaimani …
Mwenyekiti wa Kamati ya uhamasisha ya Taifa Stars taifa,mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewasili nchini Misri kwa ajili ya kuendelea kuipa hamasa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’. Makonda amesema kuwa wao walioenda nchini Misri wameenda na matumaini makubwa ya kwamba Taifa Stars inaweza na wachezaji watafanya vizuri kadri ya …