TFF yawataka Watanzania kuiunga mkono timu ya Taifa
Baada ya kuwa na maneno ya kuwakatisha tamaa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ baada ya kufungwa goli 2-0 dhidi ya Senegal Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limewataka watanzania kuendelea kuiunga mkono na sio kuivunja moyo timu hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa TFF uliopo Ilala Karume …