Messi akiri kum-miss Ronaldo
Mara kadhaa imewahi kuripotiwa kuwa uongozi wa juu wa LaLiga haukuzipokea kwa furaha taarifa za nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo kuhama Real Madrid na kujiunga na Juventus ya Italia, LaLiga inadaiwa waliona kuwa Ligi yao imeondokewa na mchezaji muhimu ambaye ana mashabiki wengi. Kwa LaLiga hiyo ilikuwa shida kwao , nahodha …