Ulimwengu asajiliwa Algeria
Mshambuliaji wa Tanzania Thomas Ulimwengu amesinya kandarasi ya miaka miwili kuichezea timu ya Js Saoura ya nchini Algeria ambayo imefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika.
Mshambuliaji wa Tanzania Thomas Ulimwengu amesinya kandarasi ya miaka miwili kuichezea timu ya Js Saoura ya nchini Algeria ambayo imefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika.